Repository logo
Communities & Collections
All of DSpace
  • English
  • العربية
  • বাংলা
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Ελληνικά
  • Español
  • Suomi
  • Français
  • Gàidhlig
  • हिंदी
  • Magyar
  • Italiano
  • Қазақ
  • Latviešu
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Српски
  • Svenska
  • Türkçe
  • Yкраї́нська
  • Tiếng Việt
Log In
New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Musyimi D. M. and Nyagah S.K ."

Filter results by typing the first few letters
Now showing 1 - 1 of 1
  • Results Per Page
  • Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Ubabedume katika tamthilia ya bembea ya maisha (2022)
    (Chuka University, 2023-11-24) Musyimi D. M. and Nyagah S.K .
    Mfumo-dume humpa thamani kubwa mwanamume huku ukimdhalilisha mwanamke kwa sababu ya jinsia yake. Imani hii dunishi imo katika itikadi na tamaduni zinazohimiliwa na mfumo wa muundo wa kijamii ambao mwanamume anapewa nguvu na uwezo zaidi dhidi ya mwanamke katika nyanja zote za maisha hususan kiutawala, kiuchumi, kidini, kisiasa na kijamii. Basi, makala hii ililenga kuchunguza jinsi mwandishi wa tamthilia ya Bembea ya Maisha (2022) alivyomsawiri mhusika wa jinsia ya kiume katika kazi yake ili kuweka wazi shughuli za ubabedume zilizojengwa katika mila, itikadi na utamaduni wa jamii husika. Data ya makala ilipatikana kwa kuisoma tamthilia teule kisha kuichanganua kwa kutumia Nadharia ya Ubabedume ambayo hulenga kubainisha nguvu na mamlaka yanayomilikiwa na jinsia ya kiume, hasa kutokana na utamaduni wa jamii husika. Matokeo ya utafiti yalibainisha kuwa mhusika wa jinsia ya kiume amesawiriwa kama mtegemezi, mrithi wa mali, ameruhusiwa kupata mtoto nje ya ndoa, haruhusiwi kujishughulisha na kazi za nyumbani, anaitwa gumba kwa kutopata watoto na anayejitwika majukumu yote ya nyumbani. Masuala haya yamekithiri katika jamii za leo. Ikiwa nchi zinazoendelea zitapiga hatua katika maendeleo, basi usawa wa kijinsia unahitaji kutiliwa maanani na jamii zote. Istilahi Muhimu: Usawiri, Mfumo-dume, Taswira, Ubabedume, Jinsia

DSpace software copyright © 2002-2025 LYRASIS

  • Privacy policy
  • End User Agreement
  • Send Feedback