Gituru, Magdalene Wangu (Chuka University, 2019-09)
Unyambulishaji wa vitenzi ni mojawapo ya masuala yanayoshughulikiwa katika
taaluma ya mofolojia katika lugha nyingi za Kiafrika. Mofolojia ni tawi la isimu
linaloshughulikia umbo la ndani la neno ambalo hujishughulisha ...