Njeru, M.K; Kobia, J.M; Musyimi, D (Chuka University, 2021-10-07)
Suala la kuongezeka kwa viwango vya halijoto na mabadiliko ya angahewa limeibua mijadala katika kiwango cha
kitaifa na kimataifa. Kwa msingi huu, kazi mbalimbali za kifasihi zimebuniwa kwa kuangazia uharibifu wa
mazingira ...